Ndovu amuua mwelekezi wa safari Zimbabwe
AFP
Mwelekezi mmoja wa safari ameuwawa na ndovu baada ya ndovu kumfuata nchini Zimbabwe, kwa mujibu wa kampuni moja wa kitalii.
Kampuni ya Adventure Zone ilisema kuwa ndovu huyo anayefahamika kama Mbaje alimuua Enock Kufandanda siku ya Jumapili jioni.
- Faru amuua mtunza mazingira Rwanda
- Ndovu mkubwa auawa Kenya
- Muwindaji alaliwa na kuuwawa na ndovu Zimbabwe
Ilisema kuwa Bwana Kufandada alikuwa mfanyakazi mzuri aliyekjitolea na ambaye watamkosa sana.
Gazeti moja lilisema kuwa Kufandanda alikuwa ameenda kuwachukua ndovu ili kuwatembeza.
Ndovu huyo kwa sasa ameuwawa
Leave a Comment